Mechi kati ya Itulike FC na Kibena FC imemalizaka kwa Mikwaju ya penati baada ya Dakika 90 kumalizika kwakufungana goli moja huku kwa Upande Kibena FC Ndio waliotangulia katotika Mchezo huo kwa goli safi kwa mpira uliofungwa na Revaldo Ntumba baada ya muda mfupi nao Itulike wakajibu mashambulizi kwa Goli murua kutoka kwa Luoneko Ng'ande lililo Mshinda golikipa wa Kibena FC na kuhitimisha dakika 90.
Ndipo Mikwaju yapenati ikamua ambapo Itulike wakashinda kwamikwaju yaPenati 5_4

No comments:
Post a Comment