AFISA Lishe Mkoa Njombe Betha Nyigu ametumia fursa ya kutoa elimu ya Lishe kwa wananchi walio hudhuria sherehe ya harusi ya Afisa Lishe ajira Mpya (Damiana Danda)Njombe TC.
Katika hafla hiyo aliweza kuwaomba wanachi wote wamkoa njombe kuzingatia elimu lishe,kula makundi yote ya vyakula na kuzingatia mlo kamili kwa mtoto kutokana na ongezeko la udumavu kwa mkoa njombe.
Hafla hiyo pia ilihudhiriwa na maafisa lishe wa Halmashauri zote za mkoa Njombe .
Kujazatumbo sio Lishe
#Lishe ya Mwanao, Mafanikio yake#๐๐ฝ๐๐ฝ๐๐ฝTulifikisha ujumbe kwa watu zaidi ya 1000#Kujaza tumbo si Lishe, Jali unachomlisha #
.jpg)
No comments:
Post a Comment