Monday, 2 December 2024

ELIMU YA LISHE YATOLEWA UKUMBINI

AFISA Lishe Mkoa Njombe Betha Nyigu ametumia fursa ya kutoa elimu ya Lishe kwa wananchi walio hudhuria  sherehe ya harusi ya Afisa Lishe ajira Mpya (Damiana Danda)Njombe TC. 

Katika hafla hiyo aliweza kuwaomba wanachi wote wamkoa njombe kuzingatia elimu lishe,kula makundi yote ya vyakula na kuzingatia mlo kamili  kwa mtoto kutokana na ongezeko la udumavu kwa mkoa njombe.

Hafla hiyo pia ilihudhiriwa na maafisa lishe wa Halmashauri zote za mkoa Njombe .

Kujazatumbo sio Lishe 



#Lishe ya Mwanao, Mafanikio yake#๐Ÿ‘†๐Ÿฝ๐Ÿ‘†๐Ÿฝ๐Ÿ‘†๐ŸฝTulifikisha ujumbe kwa watu zaidi ya 1000#Kujaza tumbo si Lishe, Jali unachomlisha #

No comments:

Post a Comment

AKULIMA WA CHAI NJOMBE WAIBUA CHANGAMOTO ZA MIUNDOMBINU NA SOKO

  WAKULIMA WA CHAI NJOMBE WAIBUA CHANGAMOTO ZA MIUNDOMBINU NA SOKO Wakulima wa zao la chai mkoani Njombe wameiomba serikali pamoja na wada...