Friday, 15 November 2024

GAMONDI AVUNJIWA MKATABA NA YOUNG SC

 Uongozi wa Yanga Sc umethibitisha kuvunja mkataba wa aliyekuwa kocha Mkuu wa kikosi hicho, Angel Miguel Gamondi pamoja na kocha msaidizi, Moussa Ndaw.


Taarifa kutoka klabuni zinaeleza kuwa tayari klabu hiyo imeanza mchakato wa kutafuta Makocha wapya wa kikosi hicho na unatarajiwa kukamilika hivi punde.


No comments:

Post a Comment

AKULIMA WA CHAI NJOMBE WAIBUA CHANGAMOTO ZA MIUNDOMBINU NA SOKO

  WAKULIMA WA CHAI NJOMBE WAIBUA CHANGAMOTO ZA MIUNDOMBINU NA SOKO Wakulima wa zao la chai mkoani Njombe wameiomba serikali pamoja na wada...