Uongozi wa Yanga Sc umethibitisha kuvunja mkataba wa aliyekuwa kocha Mkuu wa kikosi hicho, Angel Miguel Gamondi pamoja na kocha msaidizi, Moussa Ndaw.
Taarifa kutoka klabuni zinaeleza kuwa tayari klabu hiyo imeanza mchakato wa kutafuta Makocha wapya wa kikosi hicho na unatarajiwa kukamilika hivi punde.

No comments:
Post a Comment