Friday, 4 October 2024

TOENI TAARIFA VITENDO VYA UKATILI KATIKA JAMII

 Afisa Ustawi Halmashauri ya Mji Njombe Petro Mahanza amewataka wazazi hukakikisha wanaripoti vitendo  vya ukatili vinavyo tokea katika jamii .



Wito huo umetolewa Oktoba 02 ,2024 Katika Mkutano wa Hadhara Kata ya Uwemba ambapo Mahanza amewatka wazazi wote wa kata hiyo kuhakikisha wanaripoti vitendo vya ukatili kutokana na baadhi ya watu kuficha watu ambao wanafanyiwa ukatili majumbani.



kwa Uapnde wake Afisa Lishe Halmashauri ya Mji Njombe Fransisca Mosha  amewataka wazazi kuhakikisha wanazingatia ulaji bora unaozingatia makundi yote matano ya vyakula kwa watoto .


katika Mkutano huo Elimu ya kushiriki Uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 imetilewa ambapo wanachi wote na wakazi wa kata. hiyo wametaliwa Kushiriki zoezi Hilo.

No comments:

Post a Comment

AKULIMA WA CHAI NJOMBE WAIBUA CHANGAMOTO ZA MIUNDOMBINU NA SOKO

  WAKULIMA WA CHAI NJOMBE WAIBUA CHANGAMOTO ZA MIUNDOMBINU NA SOKO Wakulima wa zao la chai mkoani Njombe wameiomba serikali pamoja na wada...