Thursday, 3 October 2024

MAHENGE :NJOMBE TC INAKILA AINA YA FURSA ZA KILIMO

 



Mkamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya mji njombe amewakaribisha watu wa hai kuja kutembelea halmashauri ya mnji njombe kutokana na fursa za kilimo zinazopatikani Mkoani hapo.

Amezungumza hayo oktoba 02,2024 katika ofisi za halmashauri ya mji njombe na wageni kutoka Halmashauri ya wilaya ya Hai waliokuja kutembelea Halmashauri ya mji Njombe ambapo Mkamu Mwenyekiti aliwa pongeza kwa kuja kutembelea halmashauri ya mji njombe na kwa ugeni huo ambao umekuja utaleta chachu ya kukuza uchumi kwa halmashauri hizo.













Aliongeza kwa kusema Halmashauri ya mji Njombe imepiga hatua kubwa sana katika zao la parachichi kwani maelfu ya wananjombe wanajihusha na zao la parachichi  na wanajipatia fedha nyingi kupitia zao hilo.

No comments:

Post a Comment

AKULIMA WA CHAI NJOMBE WAIBUA CHANGAMOTO ZA MIUNDOMBINU NA SOKO

  WAKULIMA WA CHAI NJOMBE WAIBUA CHANGAMOTO ZA MIUNDOMBINU NA SOKO Wakulima wa zao la chai mkoani Njombe wameiomba serikali pamoja na wada...