Mkamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya mji njombe amewakaribisha watu wa hai kuja kutembelea halmashauri ya mnji njombe kutokana na fursa za kilimo zinazopatikani Mkoani hapo.
Amezungumza hayo oktoba 02,2024 katika ofisi za halmashauri ya mji njombe na wageni kutoka Halmashauri ya wilaya ya Hai waliokuja kutembelea Halmashauri ya mji Njombe ambapo Mkamu Mwenyekiti aliwa pongeza kwa kuja kutembelea halmashauri ya mji njombe na kwa ugeni huo ambao umekuja utaleta chachu ya kukuza uchumi kwa halmashauri hizo.
Aliongeza kwa kusema Halmashauri ya mji Njombe imepiga hatua kubwa sana katika zao la parachichi kwani maelfu ya wananjombe wanajihusha na zao la parachichi na wanajipatia fedha nyingi kupitia zao hilo.
No comments:
Post a Comment