KATA YA UTALINGOLO WAMEKAMILISHA KUTOA ELIMU NA KUHAMASISHA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA NOVEMBA 27,2024
Okotba 2,2024 Umefanyika mkutamo katika kijiji Mfereke na Utalingolo ukiwa na lengo la kuhamasisha uchaguzi wa serikali za mitaa.
Akizungumza katika mkutano huo Mwenyekiti wa Halmashauri ya mji Njombe Mhe. Erasto Mpete amewaomba wananchi kujitokeza kwa wingi kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa ambao utaleta viongozi ambao watasaidia kutatua changamoto za wananchi.
"Mikutano imekuwa ya mafanikio sana, wananchi wameelewa vizuri na wamehamasika juu kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa 2024" Amesema Diwani na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Njombe Mh Erasto Mpete
Mkikutano hiyo ilitanguliwa katika kiji cha Ihalula na Mfereke kwa wanachi wote kuhamsishwa kushiriki katika uchaguzi

No comments:
Post a Comment