Marc Guehi amevutiwa na nia ya Liverpool kutaka huduma zake, Florian Wirtz halengwi na The Reds na Newcastle ipo katika mazungumzo ya kandarasi ya Anthony Gordon.
Mlinzi wa Crystal Palace na England Marc Guehi, 24, atachangamkia fursa yakujiunga na Liverpool na sio Newcastle ambao wamekuwa wakimezea mate kwa muda mrefu. (Football Insider)
Liverpool hawana nia ya kutaka kumnunua kiungo wa kati wa Bayer Leverkusen na Ujerumani Florian Wirtz, 21 kwa pauni milioni 100. (Echo).
Newcastle wanatatizika kuendeleza mazungumzo ya kandarasi na winga wao Muingereza Anthony Gordon, 23, ambaye alilengwa na Liverpool msimu uliopita wa joto. (Telegraph )

No comments:
Post a Comment