Monday, 25 November 2024

WAZIRI CHANA ATEMBELEA KITUO CHA MAFUNZO YA MISITU NA VIWANDA VYA MISITU (FWITC)

 WAZIRI CHANA ATEMBELEA KITUO CHA MAFUNZO YA MISITU NA VIWANDA VYA MISITU  (FWITC)






Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) leo Novemba 25, 2024 ametembelea  Kituo cha Mafunzo ya Misitu na Viwanda vya Misitu Mafinga (FWITC- Mafinga) kilichopo Mkoani Iringa na kupokelewa na Mkuu wa Kituo hicho, Berthan Paul Odelo.


Mhe. Chana alikagua karakana ya uzalishaji samani, eneo la mtambo wa kukaushia mbao na kitalu cha miche.


Chuo cha FWITC kinatoa Mafunzo ya Ufundi Stadi katika ngazi ya Astashada NTA Level I-III katika fani za Misitu , Viwanda vya Misitu na Useremala.

No comments:

Post a Comment

AKULIMA WA CHAI NJOMBE WAIBUA CHANGAMOTO ZA MIUNDOMBINU NA SOKO

  WAKULIMA WA CHAI NJOMBE WAIBUA CHANGAMOTO ZA MIUNDOMBINU NA SOKO Wakulima wa zao la chai mkoani Njombe wameiomba serikali pamoja na wada...